Month: February 2017
Maiti zazikwa Juu ya zingine jijini DSM
from Blogger http://ift.tt/2kM3HYx
via IFTTT
Bangi yasababisha Polisi wanane kutimuliwa Kazi
from Blogger http://ift.tt/2kAXW4U
via IFTTT
Mwanaume alazimika Kuishi na Maiti ya mama Yake Ndani
from Blogger http://ift.tt/2lX9ZJM
via IFTTT
Akatwa Mkono Baada ya Kufumaniwa na Mke wa Mtu
from Blogger http://ift.tt/2kVtyOK
via IFTTT
Picha: Maelfu wajitokeza Kumzika Mchezaji Geofrey Bonny
Maelfu ya wakazi Wa mkoa Wa mbeya wamejitokeza katika mazishi ya mchezaji Wa zamani Geoffrey bonny mwandanji aliyefariki dunia juzi na kuzikwa katika makaburi ya kanisa katoliki makandana wilayani Rungwe.
Wakizungumza wakati Wa mazishi baba mzazi Wa marehemu,bonifasi mashamba alisema amepokea kwa masikitiko kifo cha mwanae na kuongeza kuwa aliishi na watu vizuri jambo lililochangia watu wengi kujitokeza kumuuguza ikiwa ni pamoja na misaada mbali mbali.
Nae Mjomba Wa marehemu, innocent sigonda alisema marehem alikua akisumbuliwa na Kansas ya mapafu pamojs sukari ilikuwa ikishuka Mara kwa Mara.
Mwenyekiti Wa tawi LA yanga mkoa Wa mbeya alisema lusajo kifamba alisema marehemu alikuwa meanachama hivyo uongozi unasikitika kumpoteza mwanachama wake ambae alikuwa akitoa msaada Wa kiufundi kila alipotakiwa.
Naye mwakilishi Wa uongozi Wa yanga makao makuu shadrack nsajigwa alisema marehemu aliishi nae kama ndugu kwani walisaidiana na kupeana ushauri
Alisema marehemu alikua na kipaji cha Mpira pia alikua anajituma hivyo alikua mfano Wa kuigwa kwa vijsna waliopo
Aliongeza kuwa wachezaji Wa zamani no hazina kwa taifa hivyo ni vema wakatunzwa na kuthaminiwa aidha alitoa wito kwa wachezaji wengine kujipanga kimaisha ili baada ya kustafu wasisubiri kuomba misaada pindi wapatapo matatizo.
Alisema in vema pia kuanzisha vyama vya kuwasaidia kama wachezaji wastaafu.
Chanzo:Mbeya yetu
from Blogger http://ift.tt/2lvVM5z
via IFTTT
VIDEO ya Mama aliye fukua Kaburi la Mwanae Jijini Mbeya
from Blogger http://ift.tt/2m01jzk
via IFTTT
Mambo 5 yatakayo kusaidia mtu alie umizwa katika mahusiano
1. Unatakiwa kujua maana ya upendo na gharama zake.
2. Lazima ujue vyanzo vya kujenga uhusiano ili uwe imara na mwenye nguvu katika maisha ya wapendanao.
3. Mambo 32 yanayojenga uhusiano kama ulivyosoma.
4. Lazima ujue mambo yanayoweza kuharibu mahusiano na milango ya kuvunja mahusiano.
5. Lazima ujue maumivu ya mapenzi ili uweze kuwaponya waliojeruhika kimapenzi.
from Blogger http://ift.tt/2lvO37G
via IFTTT
Fisi ajeruhi wanane Singida
from Blogger http://ift.tt/2kLSs2l
via IFTTT
Serikali yawasafirisha waliofukuzwa Msumbiji
from Blogger http://ift.tt/2lvTaVj
via IFTTT
Viongozi watolewa hofu kuzungumzia njaa
from Blogger http://ift.tt/2lZOxAJ
via IFTTT